Beroya itakupatia mtiririko wa masomo ya siku,wiki,mwezi,mwaka.Mafundisho mbalimbali kama ya ndoa,vijana,uchumi na mengineyo mengi ya kiroho.Kwa muda mrefu kumekuwa na milipuko ya mafundisho yasiyo sahihi kiasi cha kuwapelekea watu kushindwa kujisimamia wanapokutana na matatizo maishani.Dawa ya matatizo yote inapatikana katika neno la Mungu lilobeba pumzi ya uhai wa kimungu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni